MAMA YETU VICTORIA WILLNESS LYIMO (19/06/1951 - 16/11/2001)
Yapata miaka kumi sasa tangu Mama yetu mpendwa ulipotutoka. Mpendwa Mama, ulikuwa kiungo kikubwa cha familia yetu na kila siku tunakukumbuka kwa wema wako, ujasiri na upendo uliotufundisha wakati wa uhai wako.
Bila wewe Mama sisi watoto wako tusingekuwa hapa tulipo sasa. Malezi uliyotupatia daima tunamrudishia Mungu sifa na utukufu. Kuondoka kwako duniani pamoja na wapendwa wetu Baba na Dada, kumetuacha na majonzi makubwa lakini siku zote tupo pamoja nanyi kiroho.
Unakumbukwa na watoto wako Jackson, Anitha, Linda, Steven na Emmanuel. Pia unakumbukwa na wajukuu zako ambao hukuweza kuwaona Austin, Isaac na Brianna, bila kuwasahau marafiki, majirani zako na familia yote ya Mtui na Lyimo.
Mwenyezi Mungu aendelee kumpumzisha mahali pema Mama yetu mpendwa.
Amen.
Tutaendelea kukumbuka Mama yetu mpendwa. Bwana ameotoa na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.
ReplyDeleteMungu ailaze roho yako mahali pema peponi mama yetu mpwendwa, you were a Mum not only to your children but to the friends of your children also!
ReplyDeleteUnakumbukwa sana na Watoto wako wa familia ya Msuya, Sia, Neech, Dayana na Norah
oooh my neighbor ... tunakumiss sana!
ReplyDeleteR.I.P mama Lyimo. U have the most owesome-est kids and we know u r looking down upon them and u r proud. May God continue blessing ur family forever and ever.
ReplyDeleteWith love and prayers
The Mbatta's
R I P Mama, poleni tena wapendwa.
ReplyDelete- Friend from Columbus, OH.