Meneja wa kinywaji cha Guinness,Morris Njowoka (pili kulia) akielezea na  kuonyesha kwenye I-pad  jinsi mywanji wa bia ya Guinness anavyotakiwa kuinywa,wakati wa hafla fupi ya wanahabari (hawapo pichani) waliofika kwenye hafla hiyo fupi ya kushuhudia kipindi cha Guinness Football Challange 2011,kinachorushwa na televisheni ya ITV,kila siku ya jumatano kuanzai saa tatu usiku,hafla hiyo ilifanyika jana usiku kwenye ufukwe wa Cine Club,jijini Dar. wengine pichani ni wadau wanaotangaza kinywaji hicho.
Baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini wakifatilia kwa makini kipindi cha Guinness Football Challange 2011 (GFC) kilichokuwa kikirushwa na kituo cha televisheni cha ITV.Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd,(SBL) ,kupitia kinywaji chake cha Guinness,jana jioni iliandaa hafla fupi kwa waandishi wa habari za Michezo kushuhudia kipindi cha Guinness Football Challange 2011 (GFC),ambapo jana kipindi hicho kilikuwa hewani ikiwa ni sehemu ya nne, ambapo Tanzania walifanikiwa kuingia robo fainali na kufanikiwa kujinyakulia zawadi ya dola 6,000,Aidha katika shindano hilo,mshindi anakuwa na nafasi ya kuibuka na zawadi ya dola 50,000 za Kimarekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...