Mkuu wa Mkoa wa Tabora Fatma Mwasa akizungumza katika hafla ya utoaji zawadi kwa washindi wa Tabora Marathon zilizofanyika jana mjini humo.
Mshauri wa Ufundi wa Tabora Marathon Tullo Chambo kulia, akishiriki mbio hizo jana mjini Tabora.
Baadhi ya pikipiki za wasindikizaji wa Mbio za Tabora Marathon zikiwa tayari kwa zoezi hilo jana mjini humo.
Baadhi ya washindi wa mbio za Tabora Marathon wakiwa kwenye picha ya pamoja na waratibu wa mbio hizo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...