Home
Unlabelled
mwanadiaspora Dr. Hamza Mwamoyo alonga na Vijimambo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mzee Hamza hapo umenena, kwa kubebab box sio kitu kibaya, ila ni kazi isiyoenda na fani yako, mara kwa mara. na kwamba hat awazungu wenyewe wanafanya kazi hizi, hasa wanafunzi, tokea wa primary kupata kipato chao, wakati sisi kila kitu unaomba kwa wazazi hadi ukiwa university. zaidi, sio marekani tu, ila nchi zote za magharibi na Asia, hakuna kudharau kazi.labda la kukumbsha ni kuwa kipato chake kikubwa sana ukilinganish ana wanaovaa suit nyumbani, kipato duni cheo kikubwa.
ReplyDeletetehe teh, mabavu zangu mie. mdau umenifurahisha eti title kuubwa kipato duni, misifa ya bure tu, hao hao ndio hawaishi kuomba mara nisaidieni ada ya watoto, mara shida hii mara shida hii, wabongo bwana. wengi wana ukungu kwenye akili zao, Madau USA
ReplyDelete