Bwana Harusi Mtarajiwa Jumanne Muhamed Hussein akimvisha pete rasmi ya uchumba Bi Harusi Mtarajiwa. Mambo haya hyalikuwa jana Machi 11, 2012 saa 10 jioni, ili[pofungwa pamvu ya Naseem binti Midladjy mchumba akiwa ni mkwe Mtarajiwa Jumanne bin Muhamed Hussein wa Mwembechai Dar. Pamvu ilifungwa nyumbani kwa Baba wa Bibi Harusi Mtarajiwa TRC Flats Mtaa wa Ohio , Kata ya Kivukoni , Ilala Dar es Salaam. Makubaliano aqdi inatarajiwa kufanyika Mei 11, 2012 mwaka huu
Baada ya dua kusomwa Mshenga alikaribishwa na kulipa mahari pamoja na ada nyingine zinazoendana na mila na desturi za wakazi wa mkoa wa Pwani
Picha za kumbukumbu za Bwana Harusi Mtarajiwa na wakwe zake
Bi harusi mtarajiwa na rafikize
Picha za kumbukumbu za Bwana Harusi Mtarajiwa na wakwe zake. Kushoto ndiye Ba' mzaa chema Midladjy Maez
wabongo wana vaa diraa kama wasomali siku hizi
ReplyDeletejamani tuwe makini sana, unene si raha au afya. Ulaya ni ugonjwa unaitwa Obeisity.
ReplyDeletevery dangerous.