Bwana Harusi Mtarajiwa Jumanne Muhamed Hussein akimvisha pete rasmi  ya uchumba Bi Harusi Mtarajiwa.  Mambo haya hyalikuwa jana  Machi 11, 2012 saa 10 jioni, ili[pofungwa  pamvu ya  Naseem binti Midladjy mchumba akiwa ni mkwe Mtarajiwa Jumanne bin Muhamed Hussein wa Mwembechai Dar. Pamvu ilifungwa nyumbani kwa Baba wa Bibi Harusi Mtarajiwa TRC Flats Mtaa wa  Ohio , Kata ya Kivukoni , Ilala Dar es Salaam. Makubaliano aqdi inatarajiwa kufanyika  Mei 11, 2012 mwaka huu
 Baada ya dua kusomwa Mshenga alikaribishwa na kulipa mahari pamoja na ada nyingine zinazoendana na mila na desturi za wakazi wa mkoa wa Pwani

 Picha za kumbukumbu za Bwana Harusi Mtarajiwa na wakwe zake
 Bi harusi mtarajiwa na rafikize
Picha za kumbukumbu za Bwana Harusi Mtarajiwa na wakwe zake. Kushoto ndiye Ba' mzaa chema Midladjy Maez

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. wabongo wana vaa diraa kama wasomali siku hizi

    ReplyDelete
  2. jamani tuwe makini sana, unene si raha au afya. Ulaya ni ugonjwa unaitwa Obeisity.
    very dangerous.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...