Mwanasiasa mkongwe nchini,Alhaji Mustafa Songambele (katikati) akizima mshumaa wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa (birthday) baada ya kufikisha umri wa miaka 87.kushoto ni mke wake Bi Mwaya Kondo.
Mama Mwaya Kondo (kushoto) akimsaidia mumuwe Alhaji Mustafa Songambele kukata keki wakati wa kuisherehekea siku yake ya kuzaliwa na kutimiza umri wa miaka 87.
Alhaji Mustafa Songambele akionesha upendo wa dhati kwa mkewe mama Mwaya Konddo kwa kumlisha kipande cha keki wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 87 ya kuzaliwa kwa Mzee Songambele iliyofanyika nyumbani kwake mjini Songea.
Bi Mwaya Kondo akimpiga busu Mumewe ikiwa ni ishara ya upendo wao baada ya Alhaji Songambele kutimiza miaka 87 ya kuzaliwa.
Alhaji Mustafa Songambele na mkewe Mwaya Kondo wakiwa katika picha ya pamoja na ndugu na jamaa waliofika katika sherehe fupi ya kutimiza miaka 87 ya kuzaliwa kwa mwanasiasa huyo mkongwe hapa nchini.PICHA NA MUHIDIN AMRI-GLOBU YA JAMII,RUVUMA.
Happy birthday Babu...Mungu akubariki.
ReplyDeleteJamani TATU singambele alikuwa TANESCO yuko wapi siku hizi?
ReplyDeleterahman akubarik leo na kesho na akupe siha na umri mrefu uliojawa na furaha tele amin
ReplyDeletemdau new york