TIMU YANGU YA WATOTO WA KIKE WA MIAKA 16 WAMESHINDA UBINGWA WA WSHINGTON STATE CUP NA WAMEPATA NAFASI YA KUSHINDANA KWENYE KUGOMBEA UBINGWA WA TAIFA LA MARECAN AMBALO MWAKA JANA TUMESHIKA NAFASI YA NNE THENKX ONE LOVE IS LAW.
Alex Kajumulo, The Bushman
Social Justice for all Humankind
hongera kaka lakini si ungechukua japo dada yetu mmoja kutoka tanzania ama japo africa naona weupe watupu tu hapo
ReplyDeletehongereni kwa ushindi, lakini wamarekani wenye asili ya kiafrika hawataki kujihusisha kwenye michezo?
ReplyDeleteJaribu kuwahamasisha, kazi yako ni nzuri!
thenkx kwanini ninayo timu ya wazungu watupu ni kuonyesha wa africa kwamba hata mtu mweusi ana uwezo wa kufundisha wazungu na akawa na mafanikio kwa sababu watu weusi wengi na serikari za kiafirika zinadhani wazungu ndio wenye uwezo wa kila kitu hii ni timu yangu ni jina langu na ni nguo zangu na ni ufundi wangu na ni vision yangu na ni uongozi wangu ulio leta mafanikio haya.Nadnani nimejibu
ReplyDeletePesa!!
ReplyDeleteI don`t get it, siye tunapigana kila siku kuweka equal, or even near equal opportunities, wewe unabagua, anyway ni pesa zako etc, you can do whatever you want, Inasikitisha na inatia AIBU.
ReplyDeletemmeshinda vipi wakati timu yenu iko ktk nafasi ya tano kati ya saba? http://www.pugetsoundpremierleague.com/schedules/Winter2012/32684521.html
ReplyDeleteBiG Up kaka Kajumulo, safi sana mzee. Mimi ni mmoja wa washabiki wako. nakufagilia sana.
ReplyDeleteDuh ,kaka Kajumulo, yaani mtu mweusi ni mweusi tu, hiyo yangu,yangu, yangu,yangu inatia kichefu chef, ni sawa na Obama,kila kitu kafanya yeye, kumuua Osama yeye, Libya imebadili kiongozi ,yeye, aafuganistani kumetulia yeye, hasifii wanajeshi wanaoifanya hiyo kazi aaa !! yeye ,yeye yeye-ndo akina Kajumulo hao. Bongo si ulijaribu kuunda timu, mbona umetoka mbio kaka. Kumbuka pia kuwasifia hao wasichana kwa juhudi zao uwanjani.
ReplyDelete