Timu ya kandanda.co.tz inafurahia pia kutimiza mwaka mmoja. Ni matumaini yetu mwaka huu utakuwa wa mafanikio kwa wasomaji wetu wote wa tovuti hii.
Globu ya Jamii inatoa Hongera kwa kandanda.co,tz kutimiza mwaka mmoja na kuwataka wapandishe patisi na kukaza uzi kwani kazi ndiyo kwanza inaanza. Kudos to you guys - Michuzi
Kakaa Michuzi, tunashukuru.
ReplyDeleteTupo tayari..pole kwa kuendelea kuboronga kule England, Sijui ligi mnaanza lini.