Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone,Ndg. Omar Mjenga akiwa na Waziri wa Afya wa Sierra Leone Mh. Zainabu Hawa Bangura, ofisin kwake. Mhe Bangura, ameteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, kuwa Under-Secretary General for Sexual Violence in Conflict. Umoja wa Mataifa Sierra Leone, unamuaga rasmi Alhamisi tarehe 30th. Anaondoka Sierra leone kuelekea NY tar 2 Septemba.
Home
Unlabelled
Mwakilishi Mkazi wa UNOPS nchini Sierra Leone akutana na Waziri wa Afya wa Sierra Leone
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Muzeee Mujenga naona wasafisha jina la nchi huko Sierra Leone. Sasa tupe mchongo wa namna ya sisi wananchi kufaidika na uwepo wako huko. twataka iwe zaidi ya wewe kuonekana kwa social media tuu.
ReplyDeleteNamnani
Hongera Mdau Omary Mjenga kwa uwakilishi wako mwema huko.
ReplyDeleteMungu akuzidishie!!!