Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (wa kwanza
kushoto upande wa kulia) akijumuika pamoja na viongozi KOTRA ya
Tanzania, wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Uwekezaji cha watu wa Korea
(korea Business Centre) uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency
jijini Dar es Salaam leo.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba
yake ya uzinduzi wa Kituo cha Uwekezaji cha watu wa Korea (korea
Business Centre) uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar
es Salaam leo.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta
jambo na Rais wa KOTRA, Young-Ho oh, wakati wa na wa uzinduzi wa Kituo
cha Uwekezaji cha watu wa Korea (korea Business Centre) uliofanyika
kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo.
Picha na OMR.
Korea ipi DPRK (kaskazini) au Republic of Korea (Kusini)?
ReplyDelete