Mtanzania Erica Lulakwa anzindua Campaign kwenye website ya Indiegogo kwa ajili ya kurekodi album yake ya kwanza. Ambayo itarekodiwa na producer wa kimataifa Andre Manga ambaye ametengeneza muziki na Mshindi wa Grammy award Angelique Kidjo pamoja na Josh Grobin. Erica anahitaji kufikia watu wengi duniani ili kufanikisha lengo lake.
Kwa maelezo zaidi na zawadi mbalimbali bonyeza: http://www.indiegogo.com/EricaLulakwaAlbum/x/1787560
Angalia na mwambie na rafiki yako.
Hapo dada umewasiliana na wazungu wenzako na siyo sisi Watanzania.
ReplyDeleteJitahidi uongee kiswahili ili kiweze kuthaminiwa na wengine vile vile.
hahahahah!!!! sio bongo tz huwa hatuchangii hayo mambo huku tunachangia Harusi so its better kama ukidanganya kama unaolewa kwa mala ya pili utapata hela albu hell no
ReplyDelete