Daladala lenye nambari za usajili T 141 BCT lifanyalo safari zake kati ya Mbagala Rangi 3 - Mwenge,likiwa limesimama katikati ya Barabara kwenye Kona ya Mwananyamala A,likipakia abiria mchana huu,bila kujali usalama wa abiria hao na kuwa hapo ni barabarani na kuna magari mengine yamesimama yakisubiri apakie abiria.hivi hii imekaaje wadau??
Home
Unlabelled
Wazee wa Feva Angalieni hii....!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mbona poa tena halipo katikati ya barabara wacha uzushi tuwekee habari na matukio ya kigogo au mafisadi wakiwa kwenye matanuzi
ReplyDeleteachana na hao waganga njaa bin walalahoi.
ReplyDeleteIMEKAA VIBAYA SANA, PIA INAUDHI KWELIKWELI KAMA WEWE NI DEREVA UKO NYUMA UNASUBIRI KWENDA.
WENYEWE WANAITA "JUU KWA JUU"
ALMOST IMPOSSIBLE TO FIND A CURE FOR THESE PESTS.
daladala la askari. unatwanga maji kwenye kinu... ukiwa nyuma vumilia tuu utapata presha bure
ReplyDelete