Toyota Mark II ya mwaka 2002 iliyo katika hali nzuri kabisa inauzwa. Mwenye kuihitaji cheki na Anko Remmy namba 0786670594
Kwa ubavu
Kwa mbele
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mdau gari haziuzwi hivyo..hebu tujifunze kwenye auction za japan.wanaweka bei za kuanzia..hii ni biashara kwa nn ufiche bei??au unapenda kupigiwa pigiwa simu mdau??Taja bei ya kuanzia itasaidia hata mtu kuangalia apige simu au la??
ReplyDeletewabongo biashara zinakua ngumu sana kwetu jamani..weka hata fuel capacity basi..cc ngapi??
mmmh tutafika tu...BEI,BEI..BEIIIII
ReplyDeleteyafaa kudokeza sababu za kuuza ingawa umeacha namba ya simu lakini ni vema kudokeza sababu.mie nimeipenda ntakucheki.
ReplyDeleteHaya majini huwa hayauziki weka bei Kabisa tujue pa kuanzia.
ReplyDeleteTuambie basi year of manufacture!!!
ReplyDeletewewe bei ya nini piga simu unafikiri fungu la nyanya hilo
ReplyDeleteMzungu mmoja aliniambia "Ooo Tanzania is so beautiful but the people are so lame" Sasa naona kama kuna ka ukweli hapa!
ReplyDelete