Katibu Mkuu Wizara ya Nchi ofisi ya Rais fedha, uchumi na mipango ya Maendeleo Zanzibar, Khamis Mussa (kulia) akitiliana saini na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania, Dk. Ad Koekkoek mkataba wa mradi wa kuimarisha Afya ya Mama wajawazito na watoto katika Hospitali za Zanzibar.Makubaliano hayo yalitiwa saini Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar jana.
Katibu Mkuu Wizara ya Nchi ofisi ya Rais fedha, uchumi na mipango ya Maendeleo Zanzibar, Khamis Mussa (kulia) akibadilishana hati ya mkataba na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania, Dk. Ad Koekkoek, mkataba huo ni wa mradi wa kuimarisha Afya ya Mama wajawazito na watoto katika Hospitali za Zanzibar.Makubaliano hayo yalitiwa saini Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar jana.
Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania, Dk. Ad Koekkoek akifafanua jambo katika utiaji wa saini mradi wa kuimarisha Afya ya Mama wajawazito na watoto katika Hospitali za Zanzibar. Makubaliano hayo yalitiwa saini Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).
Katibu Mkuu Wizara ya Nchi ofisi ya Rais fedha, uchumi na mipango ya Maendeleo Zanzibar, Khamis Mussa (kulia) akibadilishana hati ya mkataba na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania, Dk. Ad Koekkoek, mkataba huo ni wa mradi wa kuimarisha Afya ya Mama wajawazito na watoto katika Hospitali za Zanzibar.Makubaliano hayo yalitiwa saini Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar jana.
Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania, Dk. Ad Koekkoek akifafanua jambo katika utiaji wa saini mradi wa kuimarisha Afya ya Mama wajawazito na watoto katika Hospitali za Zanzibar. Makubaliano hayo yalitiwa saini Wizara ya Fedha Vuga mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...