Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Wananchi na wanachama wa CCM Tawi la Ndagoni katika wilaya ya Chakechake leo akihitimisha ziara ya Mkoa wa Kusini Pemba,ambapo atakamilisha mikoa sita ya Zanzibar,kwa uimarishaji wa Chama cha Mapinduzi.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi ya CCM mwanachama mpya Mwanahawa Mohamed Ussi, Jumuiya ya UWT,baada ya kuweka jiwe la msingi Tawi la CCM Mgogoni Wilaya ya Chake chake Pemba katika ziara ya kuimarisha Chama leo akihitishan ziara kwa Mikoa sita ya Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimkabidhi Kadi ya CCM mwanachama mpya Said Robed Solela,kutoka CUF Maziwani,baada ya kuweka jiwe la msingi Tawi la CCM Mgogoni Wilaya ya Chake chake Pemba katika ziara ya kuimarisha Chama leo akihitishan ziara kwa Mikoa sita ya Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...