Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza siku ya Fainali ya Mashindano ya Mchezo wa Pool kwa Vyuo vya Elimu ya Juu yanayodhaminiwa na Bia ya Safari,yatakayofanyika siku ya Jumamosi na Jumapili kwenye Viwanja vya Leaders Club,Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa,Amos Kafwinga.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa,Amos Kafwinga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya namna fainli hizo zitakavyokuwa.
 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (katikati) akikabidhi Kombe litakalokabidhiwa kwa Mshindi wa Jumla katika Fainali za Mashindano ya Safari Pool kwa Vyuo vya Elimu ya Juu kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa,Amos Kafwinga (kushoto).Fainali hizo zitafanyika siku ya Jumamosi na Jumapili kwenye Viwanja vya Leaders Club,Jijini Dar es Salaam.Kulia  ni Mtatibu wa Mashindano hayo,Peter Zackaria .
Kiongozi wa Bendi ya Twanga Pepeta,Luiza Mbuttu akiimba akapela ya moja ya nyimbo za Bendi yake ambayo itatoa burudani siku hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...