Bw. Charles M. Magesa akila kiapo cha kushika nafasi ya kuwa Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu, kabla ya uteuzi wake Mhe. Magesa alikuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi wa Mahakama ya Mkoa Arusha, anayeshuhudia ni Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Benedict Mwingwa. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)
Home
Unlabelled
Jaji Kiongozi Mhe. Fakih Jundu amuapisha Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...