Bw. Charles M. Magesa akila kiapo cha kushika nafasi ya kuwa Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu, kabla ya uteuzi wake Mhe. Magesa alikuwa Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwandamizi wa Mahakama ya Mkoa Arusha, anayeshuhudia ni Msajili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Benedict Mwingwa. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...