Mlezi wa Tanzania Girl Guides ambaye pia ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na viongozi wa Chama hicho kwenye Makao Makuu yao huko Mwananyamala wakati alipowatembelea tarehe 10.5.2013.
Mke wa Rais na Mlezi wa Girl Guides Tanzania Mama Salma Kikwete akiangalia kazi mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya wanachama wa chama hicho wakati Mama Salma alipotembelea Makao Makuu ya Girl Guides yaliyopo Mwananyamala jijini Dar tarehe 10.5.2013.
Mlezi wa Chama Cha Girl Guides hapa nchini Mama Salma Kikwete akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano na viongozi wakuu wa Chama hicho mara baada ya kuwatembelea ofisini kwao huko Mwananyamala jijini Dar tarehe 10.5.2013.
Mlezi wa Girl Guides hapa Tanzania Mama Salma Kikwete akiangalia picha za matukio mbalimbali ya Girl Guides yaliyofanyika hapa nchini wakati alipotembelea Makao Makuu ya Chama hicho huko Mwananyamala jijini Dar tarehe 10.5,2013. PICHA NA JOHN LUKUWI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...