Waziri wa Kazi na Ajira,Mhe. Gaudentia Mugosi Kabaka, akihutubia Kikao cha 102 cha Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) kinachoendelea kufanyika, Geneva Uswisi. Kikao hiki kinakutanisha Wawakilishi wa Serikali, Vyama vya Waajiri na Wafanyakazi toka nchi wanachama 189 wa Shirika hilo. Kikao kilianza tarehe 5/6/2013 na kinatarajia kuisha tarehe 20/6/2013.
Home
Unlabelled
Waziri Kabara katika Kikao cha 102 cha "ILO" Geneva -2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...