Mdau Fredrick Juventine Dotto akiwa nje ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) jioni ya leo mara baada ya kulamba Nondozz yake ya Uzamili katika Uhusiano wa Kimataifa (Masters of International Relations) katika Chuo Kikuu hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Majengo na mandhari ya chuo ni mazuri..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...