Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini,Mchungaji Luckson Mwanjale (kulia) akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi,Mh. David Silinde na Mh. Athuman Mfutakamba wakati akiwasili Bungeni mjini Dodoma leo.Mchungaji Mwanjale alipatwa na ugonjwa wa ghafla uliompelekea kukosa nguvu na kuanguka juzi Novemba 10,2014 wakati vikao vya Bunge vikiendelea,hali iliyopelekea kukimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.sasa yuko vizuri na amerejea Bungeni.
 Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini,Mchungaji Luckson Mwanjale (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi,Mh. David Silinde nje ya viwanja vya Bunge,mjini Dodoma leo. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi,Mh. Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari wanaoripoti habari za Bunge, nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo.picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii Kanda ya Kati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...