Msanii
wa muziki wa bongofleva (pichani enzi za uhai wake )Ahmed Ally Upete
ambaye pia alitambulika kwa jina la kisanii kama Geez Mabovu,emefariki
Dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo,taarifa zinaeleza kuwa Geez
amekutwa na
umauti nyumbani kwao mjini Iringa.Taarifa kamili tutawaletea kadiri ya
zitakavyokuwa
zikiingia,MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
Home
Unlabelled
NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huyu ndiye Ahmed Ally? Mungu amlaze anapostahiki, aamin.
ReplyDeleteInna lillah wainna ilayhi rajiuun, mungu akufutie dhambi zako. hio cross na Ahmed Ali havilingani..... kama jina na imani viko sawa basi mungu akupe malazi ya salama....
ReplyDelete