Mratibu wa Mpango wa Somesha mtoto wa Mkulima wa zabibu ulidhaminiwa na Tanzania Distillaries LTD (TDL) Saimon Chibehe akizungumza jambo na wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi wa Kata ya Handari wilayani Chamwino, Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mratibu wa Mpango wa Somesha Mtoto wa Mkulima wa zabibu unaodhaminiwa na Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distillaries LTD (TDL), Saimon Chibehe akizungumza jambo akizungumza na Wazazi, Walezi ambao ni wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpunguzi iliyopo Manispaa ya Dodoma, mwishoni mwa wiki.
Mwanafunzi wa Kidato cha Tatu wa Shule ya Sekondari Mvumi, mkoani Dodoma, Nuru Peter akiwa katika shamba la Zabibu la Wazazi Wake wakati alipofika kumuonesha Mratibu wa Mpango wa Somesha mtoto wa Mkulima wa zabibu ulidhaminiwa na Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distillaries LTD (TDL) Saimon Chibehe (hayupo pichani) mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mpunguzi wanaofadhiliwa na Konyagi kwa kulipiwa Ada, Sale za shule na bweni wakiwa katika picha ya pamoja kwenye kibao cha shule hiyo iliyopo manispaa ya Dodoma.
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...