Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Mpanda Kati
kwa tiketi ya CHADEMA, Said Arfi mjini Mpanda Julai 21 2015. MheshiMiwa
Pinda yuko Katavi kwa mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Kiboko
akiwa amejeruhiwa vibaya baada ya kushambuliwa na Simba na kukimbilia
mtoni katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi Julai 21, 2015. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Mamba wakiwa katika hifadhi ya Katavi Julai 21, 2015
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...