HII NAFASI YA PEKEE NA ELEWA MAANA YA MABADILIKO WITO KWA WANAWAKE WOTE [WOMEN AS WINNERBREAD] ELISERENA KIMOLO MWENYEKITI UWT DMV NCHINI MAREKANI. 1.WITO KWA WANAWAKE WOTE.

Tumepata nafasi ya pekee mwanamke kuwa Makamu wa Rais,Mama Samia anafahamu fika matatizo ya mwanamke ndani ya familia,hivyo kwa mara ya kwanza huu ni ukombozi kwa mwanamket .

Tumepata mtetezi katika ngazi ya juu kwa sababu siku zote mwanamke ndie anayehusika zaidi na mambo ya familia , huku Nchini Marekani na nchi nyingine kama China au nchi zilizoendelea, Mwanamke anajulikana kama" WOMEN AS WINNERBREAD".Kwanini tunaitwa hivyo , Kwasababu ya jitihada zetu katika jamii.

Jitihada zetu za kuhakikisha familia zetu zinasonga mbele zikiwa na maendeleo mazuri kuhakikisha hakuna mtoto atakae achwa nyuma katika maendeleo."NO CHILD LEFT BEHIND" .

Hayo yote yatafanikiwa kwa kuwa na SIASA SAFI NA UONGOZI BORA.MAENDELEO AU MABADILIKO HAYATOKEI KWA SIKU MOJA,JITIHADA ZETU TUKISHIRIKIANA NA SIASA SAFI NA UONGOZI BORA Tutafika tunapotaka, Dr. Magufuli alishatutangazia kabisa katika kampeni yake kwamba mama NTILIE hatalipa tena kodi, mara atakapokuwa madarakani,hivi tunahesabu siku ifike. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...