Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya The Ngoma Africa band inawatakia kila la heri na fanaka Watanzania wote popote walipo duniani katika kusherekea miaka 53 ya Muungano Day, na kusema siku hii adhimu na iwe na Baraka na mafanikio kwa wadau wote.
Msikose kupata burudani kamili ya muziki wao at www.ngoma-africa.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...