Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya The Ngoma Africa band inawatakia kila la heri na fanaka Watanzania wote popote walipo duniani katika kusherekea miaka 53 ya Muungano Day, na kusema siku hii adhimu na iwe na Baraka na mafanikio kwa wadau wote. 
Msikose kupata burudani kamili ya muziki wao at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...