Kutakuwepo: Wasanii wa aina tofauti na Disko, Sanaa za ufundi, Vyakula vya ki Afrika vyenye asili ya Tanzania, pamoja na
Wataalamu watakaoelezea utalii wa Tanzania.
Venue: Kulturhuset Örebro. Järnvägsgatan 8
70362 Örebro.
Time: 15:00 -- middle of the night
At the door: 250 sek
Kuponi ya chakula na kinywaji 350 sek
Tiketi ya kikundi watu 6 ni 150 sek per each.
Unaweza kununua tiketi yako mapema online via..
Otherwise Contact @biorn_records
@mmbandokennedy
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...