Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma, akikata utepe kuashiria
uzinduzi rasmi wa upandaji miti, kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria,
Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, kushoto ni Mhe. Ferdinand Wambali,Jaji
Kiongozi Mahakama Kuu ya Tanzania.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akipanda mti wake.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akipanda mti.
Watumishi na Wadau mbalimbali nao walishiriki katika zoezi la kupanda miti.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akipanda mti wake.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akipanda mti.
Watumishi na Wadau mbalimbali nao walishiriki katika zoezi la kupanda miti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...