. Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu
Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula katika Ofisi ndogo za CCM Lumumba
jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Makamu
Mwenyekiti wa CCM kwa upande wa Tanzania Bara Philip Mangula katika Ofisi ndogo
za CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoka katika Ofisi ndogo za
CCM Lumumba jijini Dar es Salaam na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip
Mangula pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana wakati akiondoka akiwa katika Ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini
Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...