Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni  Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akimkabidhi kadi ya CCM moja ya wanachama wapya waliojiungana chama hicho wakati alipokwenda kufungua tawi la CCM Kata ya Usagara leo ambapo jumla ya wanachama wapya 50 walipokelewa kulia ni Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akifungua tawi la CCM Kata ya Usagara leo ambapo pia alipokea wanachama wapya 50 walipokelewa kushoto ni Mbungewa Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Hamisi Mkoba
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazeena Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akipandisha bendara ya Tawi la CCM Kata ya Usagara Jijini Tanga alipokwenda kufungua tawi la CCM kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Hamisi Mkoba na kulia ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Makorora kulia ni Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazeena Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akifungua tawi hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...