Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye
pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akimkabidhi kadi ya
CCM moja ya wanachama wapya waliojiungana chama hicho wakati alipokwenda
kufungua tawi la CCM Kata ya Usagara leo ambapo jumla ya wanachama wapya 50 walipokelewa kulia ni Mbunge wa
Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu
ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akifungua tawi
la CCM Kata ya Usagara leo ambapo pia alipokea wanachama wapya 50
walipokelewa kushoto ni Mbungewa Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph
Msukuma kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Hamisi Mkoba
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazeena Watoto Ummy Mwalimu
ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akipandisha
bendara ya Tawi la CCM Kata ya Usagara Jijini Tanga alipokwenda kufungua
tawi la CCM kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Hamisi
Mkoba na kulia ni Mwenyekiti wa CCM kata ya Makorora kulia ni Mbunge wa
Jimbo la Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazeena Watoto Ummy Mwalimu
ambaye pia ni Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akifungua tawi
hilo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...