Mapema leo hii rapa Kanye West na Mkewe Kim Kardashian walipomtembelea Ikulu ya Uganda katika jiji la Entebbe ambapo walikutana na Rais Yoweri Museveni na kufanya mazungumzo ya masuala kadhaa kuhusiana na sanaa pamoja na utalii
Rapa wa Marekani Kanye West(kushoto) akisaini viatu aina ya Yeezy alivyopewa rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) alipomtembelea Ikulu jijini Entebbe leo.
Rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) akipeana mikono na Rapa wa Marekani Kanye West(kushoto)mara baada ya kupewa zawadi ya viatu vya Yeezy alipomtembelea Ikulu jijini Entebbe leo.
Rais wa UgandaYoweri Museveni(kulia) akimsindikiza mgeni wake Rapa wa Marekani Kanye West(katikati) pamoja na mke wake Kim Kardashian (kushoto) mara baada ya kutembelewa Ikulu jijini Entebbe leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...