Familia ya Bibi  na Bwana Jimmy Samalu wa Dar es salaam inapenda kumpongeza binti yao mpendwa Brenda Samalu kwa kumaliza Shahada yake ya awali ya uchumi na mahesabu (Bachelor of Science in Economics and Mathematics) katika Chuo kikuu cha Memorial kilichopo St. John's Newfoundland  nchini Canada.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...