Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Exim Bank Ndugu
Stanley Kafu (wan ne kulia) akikabidhi
Mfano wa Hundi ya Shilingi Millioni 10 kwa kamati tendaji ya “Rotary Oyster Bay
Corporate Cricket Gala 2018” ikiwa ni sehemu ya kuchangia kambi maalumu ya
tafiti za magonjwa mikoani inayoendeshwa na taasisi hiyo ya Rotary.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...