Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Exim Bank Ndugu Stanley Kafu  (wan ne kulia) akikabidhi Mfano wa Hundi ya Shilingi Millioni 10 kwa kamati tendaji ya “Rotary Oyster Bay Corporate Cricket Gala 2018” ikiwa ni sehemu ya kuchangia kambi maalumu ya tafiti za magonjwa mikoani inayoendeshwa na taasisi hiyo ya Rotary.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...