Bodaboda na waenda kwa miguu wakiwa wamesongamana katika barabara ya mabasi ya mwendo kasi,eneo la Kariakoo jirani na makutano ya barabara ya Msimbazi na Uhuru, jijini Dar es Salaam leo. Hali imekuwa ikileta usumbufu kwa madereva wa mabasi hayo na pia kuchangia ajali za barabarani, zinazotokea mara kwa mara katika eneo hilo. Picha na Joseph Zablon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...