Bodaboda na waenda kwa miguu wakiwa wamesongamana katika barabara ya mabasi ya mwendo kasi,eneo la Kariakoo jirani na makutano ya barabara ya Msimbazi na Uhuru, jijini Dar es Salaam leo. Hali imekuwa ikileta usumbufu kwa madereva wa mabasi hayo na pia kuchangia ajali za barabarani, zinazotokea mara kwa mara katika eneo hilo. Picha na Joseph Zablon.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...