Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti ya Masuala ya Uchumi na Maendeleo (REPOA) , Dkt Donald Mmari akitoa taarifa ya utangulizi kabla ya mgeni rasmi kufungua mafunzo ya siku tano yaliyoanza Desemba 3, 2018 mjini Morogoro kwa Watendaji wa ngazi ya kati wanaohusika na mipango na sera katika Wizara na Idara za serikali yakiwa na lengo la kuangalia namna bora ya kutumia matokeo ya utafiti mbalimbali unaofanywa na watafiti ili kuleta maendeleo ya haraka kwa jamii na taifa.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi .
Watendaji wa ngazi ya kati wanaohusika na mipango na sera katika Wizara na Idara za serikali pamoja na watafiti baadhi yao wa Taasisi ya Utafiti ya Masuala ya Uchumi na Maendeleo (REPOA) wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya mgeni rasmi Kaimu Katibu tawala wa mkoa wa Morogoro, Noel Kazimoto ( kati kati walioketi ) kufungua mafunzo ya siku tano yaliyoanza Desemba 3, 2018 mjini Morogoro yakiwa na lengo la kuangalia namna bora ya kutumia matokeo ya utafiti mbalimbali unaofanywa na watafiti ili kuleta maendeleo ya haraka kwa jamii na taifa na ( wapili kushoto) ni Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo, Dkt Donald Mmari.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti ya Masuala ya Uchumi na Maendeleo (REPOA) , Dkt Donald Mmari ( wapili kutoka kulia ) akifurahia jambo na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku tano yaliyoanza Desemba 3, 2018 mjini Morogoro baada ya kufunguliwa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Noel Kazimoto ( hayupo pichani) yakiwa na lengo la kuangalia namna bora ya kutumia matokeo ya utafiti mbalimbali unaofanywa na watafiti ili kuleta maendeleo ya haraka kwa jamii na taifa .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...