Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman akitoa hotuba ya Uwekaji wa jiwe la msingi Daraja la Kibondemzungu Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Kulia yake ni Waziri wa Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dkt,Sira Ubwa Mamboya na kushoto yake ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboud Jumbe.
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboud Jumbe akitoa maelezo ya Kitaalam kuhusiana na Ujenzi wa Daraja la Kibondemzungu Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Daraja la Kibondemzungu Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman kulia akibadilishana mawazo na Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dkt,Sira Ubwa Mamboya katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Daraja la Kibondemzungu Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Daraja la Kibondemzungu lililowekewa jiwe la msingi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman Wilaya ya Magharibi B Unguja.Ikiwa ni shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...