Mfanyabiashara ndogondogo wa Makanyagio, wilayani
Mpanda, Gilau Bruno amekabidhiwa zawadi yake ya sh milioni 5 alizoshinda kutoka
kwenye bahati nasibu ya Biko droo ya 183 iliyochezeshwa jumatano
iliyopita kwa mkazi huyo kupokea fedha zake tayari kuziingiza kwenye
matumizi yake ya kawaida ya kimaisha. Mamilioni mengine ya Biko
yanaendelea kutoka kila Jumatano na Jumapili bila kusahau zawadi za papo
kwa hapo zinazotoka kila dakika moja. Picha na mpigapicha wetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...