Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi (kushoto), wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom, Rosalynn Mworia akizungumza juu ya utendaji kazi wa kidijitali wa kampuni hiyo mapema leo kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, Mhandisi Peter Ulanga.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kushoto) akisikiliza kuhusu utendaji wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Hisham Hendi (wa pili kulia) alipotembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom mapema leo na kujionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali. Kushoto ni Naibu Katibu mkuu wa Wizara hiyo, Dr Jim Yonaz na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, Mhandisi Peter Ulanga.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (wa kwanza kushoto) wakisikiliza shughuli zinazofanywa na kitengo cha Ufanisi wa mtandao kutoka kwa Mhandisi Pendo Boshe wa kitengo hicho wakati wa ziara ya naibu waziri katika ofisi za Vodacom Tanzania mapema leo, ambapo naibu waziri alijionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kushoto) akisikiliza kuhusu utendaji wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Hisham Hendi (wa pili kulia) alipotembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom mapema leo na kujionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali. Kushoto ni Naibu Katibu mkuu wa Wizara hiyo, Dr Jim Yonaz na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote, Mhandisi Peter Ulanga.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (wa kwanza kushoto) wakisikiliza shughuli zinazofanywa na kitengo cha Ufanisi wa mtandao kutoka kwa Mhandisi Pendo Boshe wa kitengo hicho wakati wa ziara ya naibu waziri katika ofisi za Vodacom Tanzania mapema leo, ambapo naibu waziri alijionea namna ambavyo kampuni hiyo inafanya kazi zake kidijitali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...