RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiondoa kipazia kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi la Barabara ya Mkanyageni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani Pemba, akiwa katika ziara yake ilioaza leo.(Picha na Ikulu) 
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, kulia Mama Mwanamwema Shein na kushoto Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Dr.Sira Ubwa Mwamboya, wakisoma jiwe la Msingi la Barabara ya Mkayangeni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani baada ya kuweka jiwe la msingi, akiwa katika ziara yake kisiwani Pemba leo,21-2-2019.(Picha na Ikulu) 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi wa Mkanyageni wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi lac Barabara ya Mkanyageni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani Pemba, iliojengwa kwa Kiwango cha lami.kushoto Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Dr, Sira Ubwa Mwamboya  na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.(Picha na Ikulu )
 WANANCHI wa Kijiji cha Mkanyageni Kisiwani Pemba wakifuatilia hafla ya Uzinduzi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Barabara mpya iliojengwa kwa kiwango cha lami kutoka Mkanyageni hadi Kangani, iliozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake Kisiwani Pemba leo.(Picha na Ikulu)
 KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Ndg. Mustafa Aboud Jumbe akitowa maelezo ya Kitaalam ya ujenzi wa Barabara ya Mkanyageni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani Pemba.(Picha na Ikulu)
 WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Dr, Sira Ubwa Mwaboya akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi na Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Barabara ya Mkanyageni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani Pemba.(Picha na Ikulu)
 MWANANCHI wa Kijiji cha Mkanyageni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba akifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla hiyo ya uwekaji wa jiwe la msingi la Barabara ya Mkanyageni hadi Kangani Wilaya ya Mkoani Pemba.(Picha na Ikulu)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...