#UPDATEMSIBA wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni  Waziri wa Maliasili na Utalii  Dk.Hamisi Andrea  Kigwangalla upo nyumbani kwake Mikocheni A katika Kota za Mawaziri jirani na Victoria.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Familia Bwana  Lumola anataarifu kuwa mwili utasafirishwa kesho asubuhi kwa  ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini  Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.

Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani Dar es Salaam  na Nzega Vijijini.

Msiba umetokea leo February 21 majira ya Saa nne asubuhi  JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI. Zulqarinain alikuwa akisumbuliwa na tatizo la moyo.
#R.I.P. Zul.

Inna lillahi wainna illaihi rajiuun

 Baadhi ya watu wakiwemo mawaziri na Majirani  waliojitokeza kwenye msiba mtoto  wa Dk. Kigwangalla muda huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...