#UPDATEMSIBA
wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri
wa Maliasili na Utalii Dk.Hamisi Andrea Kigwangalla upo nyumbani kwake
Mikocheni A katika Kota za Mawaziri jirani na Victoria.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Familia Bwana Lumola anataarifu kuwa mwili utasafirishwa kesho asubuhi kwa ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.
Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani Dar es Salaam na Nzega Vijijini.
Msiba umetokea leo February 21 majira ya Saa nne asubuhi JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI. Zulqarinain alikuwa akisumbuliwa na tatizo la moyo.
#R.I.P. Zul.
Inna lillahi wainna illaihi rajiuun
Kwa mujibu wa Msemaji wa Familia Bwana Lumola anataarifu kuwa mwili utasafirishwa kesho asubuhi kwa ndege na Mazishi yanatarajiwa kufanyika saa Kumi jioni Nzega Vijijini Jimboni kwa Waziri Dk Kigwangalla.
Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani Dar es Salaam na Nzega Vijijini.
Msiba umetokea leo February 21 majira ya Saa nne asubuhi JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE - MUHIMBILI. Zulqarinain alikuwa akisumbuliwa na tatizo la moyo.
#R.I.P. Zul.
Inna lillahi wainna illaihi rajiuun
Baadhi ya watu wakiwemo mawaziri na Majirani waliojitokeza kwenye msiba mtoto wa Dk. Kigwangalla muda huu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...