Meneja wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (plc), Christina Murimi (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points, Christian Myamba, fundi cherahani na mkazi wa Sinza, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja 140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi 500,000/-kila mmoja
 Meneja wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (PLC), Christina Murimi (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points,Regina Mwampinga,mkazi wa Tegeta, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja 140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi 500,000/-kila mmoja
 Meneja wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (plc), Christina Murimi (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points, Christian Myamba, fundi cherahani na mkazi wa Sinza, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja 140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi 500,000/-kila mmoja
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye na Meneja mawasiliano na Matukio wa kampuni hiyo ,Christana Murimi (kulia) mara baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 500,000/- wakati wa hafla hiyo ilifanyika katika ofisi yake ya Vanessa Hair Beuaty Salon iliyopo Tabata Chama jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...