Meneja
wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (plc), Christina Murimi
(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa
washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points, Christian Myamba, fundi
cherahani na mkazi wa Sinza, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja
140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya
kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi
500,000/-kila mmoja
Meneja
wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (PLC), Christina Murimi
(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa
washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points,Regina Mwampinga,mkazi wa
Tegeta, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja 140 wa Vodacom
walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya kampeni kumalizika
wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi 500,000/-kila
mmoja
Meneja
wa Mawasiliano na Matukio wa Vodacom Tanzania (plc), Christina Murimi
(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi 500,000/-mmoja wa
washiriki wa kampeni ya M-Pesa Tuzo Points, Christian Myamba, fundi
cherahani na mkazi wa Sinza, Dar es Salaam. Kupitia kampeni hii wateja
140 wa Vodacom walizawadiwa shilingi 25,000/-kila mmoja na baada ya
kampeni kumalizika wateja 10 wa Vodacom nchi nzima watazawadiwa shilingi
500,000/-kila mmoja
Meneja
Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye na
Meneja mawasiliano na Matukio wa kampuni hiyo ,Christana Murimi (kulia)
mara baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi
500,000/- wakati wa hafla hiyo ilifanyika katika ofisi yake ya Vanessa
Hair Beuaty Salon iliyopo Tabata Chama jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...