Kaimu
Mkuu wa Idara ya Mikopo wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Issa Hamis (kushoto) sambamba
na Mkuu wa Kitengo cha wateja wakubwa (corporate) wa benki hiyo Bw Shrikant
Ganduri (katikati) wakizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria
hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili
ya wateja wakubwa wa benki hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini
Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Mkuu
wa Kitengo cha wateja wakubwa (corporate) wa benki hiyo Bw Shrikant Ganduri akizungumza
wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya
wateja wakubwa wa benki hiyo
iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Mmoja
wa wateja wakubwa wa benki ya Exim Tanzania akitoa neno la shukrani kwa niaba
ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya New
Africa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mmoja
wa wateja wa benki ya Exim Tanzania akiongoza ibada wakati hafla hiyo.
Baadhi
ya wafanyakazi wa benki ya Exim wakitoa neno la shukrani pamoja na utambulisho
mbele ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa
ajili ya wateja wakubwa wa benki hiyo
iliyofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim
Tanzania, Bw Andrew Lyimo (kulia) akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo
pamoja na wageni waalikwa wakiwemo Waziri wa Habari, Michezo, Utalii na Mambo
ya Kale wa Zanzibar Bw Mahamoud Thabit
Kombo pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Bw Issa Haji Ussi wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa
mwishoni mwa wiki kwa ajili ya wateja wa benki hiyo Zanzibar.
Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim
Tanzania, Bw Andrew Lyimo (wa pili kulia) akizungumza na baadhi ya wateja wa
benki hiyo pamoja na wageni waalikwa akiwemo Waziri wa Habari, Michezo, Utalii
na Mambo ya Kale wa Zanzibar Bw Mahamoud
Thabit Kombo (kulia kwake) wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa mwishoni mwa
wiki kwa ajili ya wateja wa benki hiyo Zanzibar
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo Waziri wa Habari, Michezo,
Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar Bw
Mahamoud Thabit Kombo (katikati) pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Bw Issa Haji Ussi (Kulia) wakijadili jambo
walipokutana kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya Exim kwa ajili ya
wateja wa benki hiyo Zanzibar iliyofanyika visiwani humo mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim
Tanzania, Bw Andrew Lyimo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya
wafanyakazi wa benki hiyo kutoka Dar es Salaam na Zanzibar kwenye hafla ya
futari iliyoandaliwa na Benki ya Exim kwa ajili ya wateja wa benki hiyo
Zanzibar iliyofanyika visiwani humo mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...