Wafanyakazi wa Airtel wakimuhudumia Inspecta Jenerali wa Polisi (IGP) Saimon Sirro ili kuhakiki usajili wa laini yake ya Airtel kwa kutumia Alama za vidole leo katika Makao makuu ya polisi jijini Dar es salaam ambapo Airtel inaendelea na zoezi la usajili na uhakiki wa laini za simu kwa kutumia Alama za vidole kama ilivyoagizwa na mamlaka ya mawasiliano TCRA kuwa hadi kufikia Dec 2019 laini zisizohakikiwa kwa mfumo wa alama za vidole (Biometria) zitafungwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...