Mwakilishi wa Jimbo la Shaurimoyo Hamza Hassan Juma akichangia Hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman katika kikao cha baraza la Wawakilishi kinachoendelea Mbweni Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Chaani Nadir Abdul-latif Yussuf katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Zanzibar.
Mwakilishi wa Jimbo la Chakechake Suleiman Sarahan Said
akichangia Hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na
Utawala bora Haroun Ali Suleiman katika kikao cha baraza la
Wawakilishi kinachoendelea Mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...