Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Buyungu, Mhandisi Christopher Chiza, Bungeni jijini Dodoma, Mei 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Hanang, Dkt. Mary Nagu, Bungeni jijini Dodoma, Mei 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kibiti, Ally Ungando kwenye viwanja vyua Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019.

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Reader Rabbits ya jijini Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Biharamulo, Oscar Mukasa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 22, 2019. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...