RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Mareheme Ali Ferej, aliyekuwa Mwenyekiti wa ZFA yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar leo 19-5-2019
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi na Wanamichezo katika maziko ya Marehemu Ali Ferej Tamim , aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Zanzibar(ZFA) yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitowa mkono wa Pole kwa Watoto wa Mareheme Ali Ferej Tamim, baada ya kumalizika maziko hayo yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapijnduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwafariji na kutowa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, alipofika nyumbani kwa Kijiji cha Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo 19-5-2019
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwafariji na kutowa mkono wa Pole kwa Wajane wa Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, aliofika Kijiji kwao Uzini leo kutowa mkono wa pole kwa familia

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga alipofi kutowa mkono wa pole na kuifariji familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban , kijiji kwa Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo 19-5-2019.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...