Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly, kabla ya mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly katika mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly, baada ya mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, nje ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Uwekezaji, Dkt. Sahar Nasr, kabla ya kukutana na Wawekezaji kutoka Misri, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. 

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wawekezaji kutoka Misri, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. 
 Wawekezaji kutoka Misri, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alipozungumza nao, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...