Watanzania wakihamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji kufuatia mauaji ya watanzania kumi yaliyotokea Juni 26 mwaka huu mara baada ya serikali ya Tanzania na Msumbiji hivi karibuni kufanya makubaliano ya pamoja kutoa siku tatu kuanzia jana watanzania hao waweze kuhamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji hicho cha Mtole na kurejea hapa nchini.
Watanzania wakihamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji kufuatia mauaji ya watanzania kumi yaliyotokea Juni 26 mwaka huu mara baada ya serikali ya Tanzania na Msumbiji hivi karibuni kufanya makubaliano ya pamoja kutoa siku tatu kuanzia jana watanzania hao waweze kuhamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji hicho cha Mtole na kurejea hapa nchini ambapo wanavuka mto Ruvuma huo kwa kutumia miguu .(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...