Watanzania wakihamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji kufuatia mauaji ya watanzania kumi yaliyotokea Juni 26 mwaka huu mara baada ya serikali ya Tanzania na Msumbiji hivi karibuni kufanya makubaliano ya pamoja kutoa siku tatu kuanzia jana watanzania hao waweze kuhamisha mizigo na mazao yao kutoka Kijiji hicho cha Mtole na kurejea hapa nchini.
Watanzania wakihamisha mizigo na mazao yao kutoka
Kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji kufuatia
mauaji ya watanzania kumi yaliyotokea Juni 26 mwaka huu mara baada ya
serikali ya Tanzania na Msumbiji hivi karibuni kufanya makubaliano ya
pamoja kutoa siku tatu kuanzia jana watanzania hao waweze kuhamisha
mizigo na mazao yao kutoka Kijiji hicho cha Mtole na kurejea hapa
nchini ambapo wanavuka mto Ruvuma huo kwa kutumia miguu .(PICHA NA
FATNA MWINYIMKUU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...