Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali maombi yaliyofunguliwa na aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kusema kuwa ili kutekelezeka kwa maombi hayo ni lazima kuwepo na uvunjwaji wa katiba
Jaji Sirilius Matupa amesema mleta maombi (Lissu) katika maombi yake ana hoja katika lakini alipaswa kupinga uchaguzi na sio kuapishwa kwa Mbunge wa jimbo hilo, Miraji Mtaturu kwani kuapishwa ni haki yake.
Amesema haiwezekani Jimbo moja likawa na Wabunge wawili na kwamba ili haki itendeke lazima katiba ivunjwe jambo ambalo haliwezekani.
Jaji Sirilius Matupa amesema mleta maombi (Lissu) katika maombi yake ana hoja katika lakini alipaswa kupinga uchaguzi na sio kuapishwa kwa Mbunge wa jimbo hilo, Miraji Mtaturu kwani kuapishwa ni haki yake.
Amesema haiwezekani Jimbo moja likawa na Wabunge wawili na kwamba ili haki itendeke lazima katiba ivunjwe jambo ambalo haliwezekani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...