Jengo la NSSF Njombe.
Majengo ya kisasa yameanza kushamiri katika Mkoa mpya wa Njombe ambao ulianzishwa rasmi mwaka 2012. zimeanza kujengwa majengo ya kisasa ya serikali, hoteli na ya watu binafsi. Pia imejengwa stendi mpya ya kisasa, soko la kisasa.
Kanisa la Katoliki la ST Joseph la Njombe Mjini
Baadhi ya majengo yanayochepuka Njombe Mjini
Mtaa wa Mlowezi katikati ya Mji wa Njombe
Benki ya NMB Njombe
Jengo la CCM Mkoa wa Njombe lililopo Mjimwema
Soko Kuu la kisasa la ghorofa Mjini Njombe likiwa katika hatua za ujenzi
Moja ya vituo vipya vya mafuta vilivyopo Njombe. (PICHA ZOTE KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
Kutokana na hadhi mpya, wilaya ya Njombe imegawanyika kati ya ile ya mjini na ile ya vijijini. Pia, mwezi wa Machi 2012, imeanzishwa wilaya ya Wanging'ombe.
Mwaka 2012 katika eneo hilo kulikuwa na wakazi 702,097 Census 2012. Jalada kutoka ya awali juu ya March 5, 2016. Iliwekwa mnamo 14 February 2016. katika wilaya sita zifuatazo: Njombe Mjini (wakazi 130,233), Njombe Vijijini (wakazi 85,747), Makambako (wakazi 93,827), Makete (wakazi 97,266), Ludewa (wakazi 133,218), Wanging'ombe (wakazi 161,816).
Makao makuu yako Njombe mjini.
Kabila la Wabena liko wilaya ya Njombe na eneo la Malangali likiwa linapakana na wilaya ya Ulanga na wilaya ya Kilombero (Mkoa wa Morogoro), Wakinga wako wilaya ya Makete na Wapangwa wako katika wilaya ya Ludewa.
Karibu wakazi wote wa mkoa ni Wakristo, hasa Walutheri na Wakatoliki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...